Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama, ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Tarime , Glorious Luoga
Wananchi wa wilaya ya Tarime mkoani Mara wamelalamikia tabia za baadhi ya askari wa jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na Rorya kuwabambikizia kesi za mauaji na unyang’anyi wa kutumia silaha.