Mahakimu wasiofikia malengo, kuchukuliwa hatua

Jaji mkuu wa Tanzania Jaji Mohamed Chande Othman amesema kuwa mahakama itawachukulia hatua mahakimu wote walioshindwa kufikisha malengo ya mahakama walioshindwa kumaliza mashauri na kesi katika kiwango kilichowekwa na mahakama hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS