Tutawashughulikia wavunjifu wa amani Z'bar-Polisi Kamishna wa Polisi Zanzibar Salim Msangi Jeshi la Polisi Zanzibari limepiga marufuku vitendo vya kusambaza vipeperushi vyenye ujembe wa vitisho kwa wananchi vinginevyo sheria itachukua mkondo wake ili kudhibiti hali hiyo. Read more about Tutawashughulikia wavunjifu wa amani Z'bar-Polisi