Tutawashughulikia wavunjifu wa amani Z'bar-Polisi

Kamishna wa Polisi Zanzibar Salim Msangi

Jeshi la Polisi Zanzibari limepiga marufuku vitendo vya kusambaza vipeperushi vyenye ujembe wa vitisho kwa wananchi vinginevyo sheria itachukua mkondo wake ili kudhibiti hali hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS