Wateja 24 waliotorosha makontena kufilisiwa
Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania(TRA), imeikabidhi Kampuni ya Udalali ya Yono iwafilisi wateja 24 wanaodaiwa kodi ya shilingi Bilioni 18.95 baada ya kutorosha makontena ya mizigo kwenye bandari kavu (ICD) ya Azam.

