Uamuzi wa ICC leo kutoa mwelekeo wa kesi ya Ruto

Naibu Rais wa Kenya William Ruto akiwa Mahakamani The Huge nchini Uholanzi

Kesi inayomkabili Naibu Rais wa Kenya William Ruto katika Mahakama ya Kimataifa ya jinai (ICC) inatarajiwa kuchukua mwelekeo mpya leo, wakati kitengo cha rufaa kitakapotoa uamuzi juu ya taarifa za mashahidi watano waliojiondoa kama zitaendelea au la

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS