Simba yakaa kileleni ligi kuu, Kiiza aking'ara

Hatimaye mara baada ya misimu mitatu kupita klabu ya soka ya Simba ambayo iliandamwa na migogoro ya ndani na kupelekea kufukuza makocha wanane kwa misimu hiyo mitatu sasa hali hiyo chini ya mganda Mayanja imeanza kufutika rasmi kwa matokeo ya sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS