Simba yakaa kileleni ligi kuu, Kiiza aking'ara
Hatimaye mara baada ya misimu mitatu kupita klabu ya soka ya Simba ambayo iliandamwa na migogoro ya ndani na kupelekea kufukuza makocha wanane kwa misimu hiyo mitatu sasa hali hiyo chini ya mganda Mayanja imeanza kufutika rasmi kwa matokeo ya sasa.

