Mwigulu atumbua jipu machinjioni usiku wa manane

Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mwigulu Nchemba,akiongoza na Mbunge wa Jimbo la Ukonga Mwita Waitara katika Machinjio ya Ukonga Mazizi Jana usiku.

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Nchemba amemsimamisha kazi mkuu wa mnada wa Pugu na watumishi wengine kwa ubadhirifu na ukwepaji kodi ikiwa ni pamoja kuwaingiza ng'ombe kwenye machinjio bila kibali halali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS