Mwigulu atumbua jipu machinjioni usiku wa manane
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Nchemba amemsimamisha kazi mkuu wa mnada wa Pugu na watumishi wengine kwa ubadhirifu na ukwepaji kodi ikiwa ni pamoja kuwaingiza ng'ombe kwenye machinjio bila kibali halali.
