Mkurugenzi mtendaji wa mtandao wa kijinsia nchini TNGP Lilian Liundi
Mgawanyo mbaya wa rasilimali nchini ndio chanzo cha tatizo la umaskini hasa maeneo ya vijijini na kwenye makundi ya watu wenye mahitaji maalumu hasa ya walemavu,wanawake,watoto na wazee.