Bariadi yakabiliwa na upungufu mkubwa madawati Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya mji wa Bariadi Mathias Mkumbo Halmashauri ya mji wa Bariadi imejipanga kuondoa kero ya madawati inayowakabili kwa muda mrefu ili kuwanusuru wanafunzi kukaa chini wakati wakifundishwa . Read more about Bariadi yakabiliwa na upungufu mkubwa madawati