Simbachawene aunda tume kuichunguza KEC, Kibaha

Waziri wa nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe.George Simbachawene

Waziri wa nchi ofisi ya Rais TAMISEMI George Simbachawene amesema serikali inaangalia namna ya kuunda upya shirika la elimu kibaha (KEC) ili liweze kuendana na mahitaji ya jamii kwa sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS