Wanunuzi wa Hisa za DSE waongezeka
Kumekuwa na idadi kubwa ya watu wanaokwenda kununua hisa za Soko la Hisa la Dar es Salaam, wengi wakiwa kutoka nje ya jiji la Dar es Salaam, hasa kutoka mikoa ya Tanga, Iringa na Morogoro baada ya DSE kuuza hisa katika soko ambalo pia inalisimamia.