Lazima simu feki zizimwe ili sheria ifanye kazi

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani

Serikali imesema kuwa lengo kuu la kutekeleza zoezi la kuzizima simu feki nchini Tanzania ni pamoja na kudhibiti matukio ya uhalifu yanayofanyika na simu hazo ambapo serikali inashindwa kuzifauatilia kwa kuwa hazina vigezo vya kusajiliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS