Prof Tibaijuka awa gumzo atumia usafiri wa bajaj

Mbunge wa jimbo la Muleba Kusini Profesa Anna Tibaijuka

Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Muleba Kusini Profesa Anna Tibaijuka, leo ametumia usafiri wa Bajaj hatua inayomfanya kuwa mwanasiasa wa kwanza mashuhuri nchini kutumia usafiri huo hadharani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS