BMT yaisimamisha PST mwaka mmoja

Katibu Mkuu wa BMT Mohamed Kiganja.

Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT), limelisimamisha kwa mwaka mmoja Shirikisho la Masumbwi la Ngumi za Kulipwa nchini (PST) kujishughulisha na mchezo huo baada ya kugundulika kukiuka kanuni na sheria za mchezo husika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS