BMT yaisimamisha PST mwaka mmoja
Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT), limelisimamisha kwa mwaka mmoja Shirikisho la Masumbwi la Ngumi za Kulipwa nchini (PST) kujishughulisha na mchezo huo baada ya kugundulika kukiuka kanuni na sheria za mchezo husika.