Raia wa Uingereza Michael Steven Sandford akiwa amedhibitiwa na polisi wa Marekani
Raia wa Uingereza ambaye alijaribu kumpokonya silaha polisi katika mkutano wa Donald Trump Jijini Las Vegas nchini Marekani amesema alikuwa anataka kumpiga risasi muwania urais huyo wa Marekani.