CHODAU:Mjue mfanyakazi wa ndani kabla ya kumuajiri
Chama cha Wafanyakazi wa Hifadhi, Mahotelini, Majumbani na Huduma za Jamii CHODAU mkoa wa Kinondoni, kimewataka waajiri wa wafanyakazi wa majumbani kuhakikisha wanakuwa na taarifa stahiki za wazazi na wapi wanatoka wafanyakazi wao wa ndani.