Tusiwatenge waathirika wa Dawa za kulevya-Mhagama

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe, Jenista Muhagama.

Serikali ya Tanzania imeitaka jamii kutowabagua vijana walioathirka na madawa ya Kulevya, na badala yake ijikite katika kupambana na wasambazaji wa madawa ya kulevya nchini ikiwemo kuwafichua kutoka maeneo wanayoishi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS