Lewandowski ndani ya rada za Man United

Mshambuliaji wa Bayern Munich na Poland Robert Lewandowski.

Jose Mourihno kocha mpya wa United anataraji kubisha hodi na kufanya usajili wa mchezaji raia wa Poland Robert Lewandowski ikiwa ni harakati za kukijenga upya kikosi chake na kurejesha heshima ya Old Trafford.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS