Dkt. Magufuli aahidi kumalizia mchakato wa Katiba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli,akiwa na Jaji Joseph Sinde Warioba Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, ameahidi kumalizia mchakato wa Katiba mpya pale ulipofikia ili kuwapatia wananchi katiba wanayoihitaji kwa ajili ya maendeleo yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS