Aliya kutapeliwa ardhi,aomba Mhe.Lukuvu kumsaidia

Familiya ya mama Zena wakiwa nje ya nyumba yao maeneo ya Tegeta Namanga baada ya kubomolewa nyumba yao kutokana na kuwepo mgogoro wa ardhi

Waziri wa ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi Mhe. Willium Lukuvi ameombwa kuingilia kati mgogoro wa kiwanja no. 26 block G tegeta baada ya nyumba ya famili ya ya watu 4 kuvunjwa na taasisi moja ya kibenki licha ya kuwepo kwa katazo la mahakama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS