Polisi hawana makazi yakueleweka Nkasi - Kessy

Mbunge wa Jimbo la Nkasi Kaskazini kupitia CCM, M Ali Mohamed Kessy, ameliambia Bunge Mjini Dodoma kwamba askari polisi katika jimbo lake wanateseka kwa makazi mabovu kwenye vituo na nhata nyumba zao za kulala nyingine hazina milango.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS