Amissi Tambwe aishauri Yanga

Mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe.

Mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe ameushauri uongozi wa klabu hiyo kuhakikisha unasajili kiungo mkabaji (namba sita), wa nguvu katika kipindi hiki cha usajili ambaye atakuwa msaada mkubwa kwa timu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS