Pep Guardiola ajipanga kuizidi kete FC Barcelona

Kocha mpya wa Manchester City Pep Guardiola.

Ni kama kuonyesha jeuri na umaarufu wake kwa waajili wake wa zamani kocha Pep Guardiola ameingia katika vita na timu ya FC Barcelona katika mbio zakuwania saini ya kiungo wa Celta Vigo na Hispania Nolito aliyekulia katika timu B ya Barcelona

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS