Wawili mbaroni kwa kusambaza ujumbe mtandaoni

Kamanda wa polisi mkoani Mbeya Dhahiri Kidavashari.

Jeshi la polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wawili wakikabiliwa na tuhuma za kusambaza Ujumbe wenye kuashiria kuhatarisha amani ya nchi kupitia mtandao wa simu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS