Wakuu wa wilaya wapewa siku saba kuhakiki madawati

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makala

Serikali mkoani Mbeya imewaagiza wakuu wa wilaya zote kuhakikisha wanawasilisha fomu za taarifa za Utengenezaji na ugawaji wa madawati kwenye shule zote ndani ya siku saba lengo likiwa ni kupata uhakika wa utekelezaji wa Agizo la rais Dkt. Magufuli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS