''Wasanii tutumie sanaa yetu kuwekeza'' - Nahreel
Msanii wa Bongo Flava anayeunda kundi la 'Navy Kenzo' Nahreel amewataka wasanii kufanya mambo ya maana wanapofanikiwa kupata mafanikio ya kazi zao za sanaa ili waweze kufaidi matunda ya nguvu kazi zao.

