Nikimsikia Country boy kama namsikia Ngwea- Soggy
Rapa mkongwe Tanzania Soggy Doggy amefunguka na kusema kuwa vijana kwenye muziki wa hip hop saizi wanafanya vizuri na ili uende nao sawa lazima upite njia wanazopita hao ndiyo maana hata yeye ameshindwa kuachia kazi mpya mpaka akamilishe video kabisa

