Warriors waanza vibaya NBA

Kawhi Leonard, kushoto, akijaribu kuumiliki mpira wakati left, Stephen Curry naye akijaribu kumkaba

Kawhi Leonard, amefunga pointi 35, wakati akiisaidia San Antonio Spurs, kuifunga Golden State Warrors, kwa vikapu 129-100, usiku wa kuamkia leo, katika dimba la Oracle Arena, Oakland.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS