Simba yairarua Mwadui FC tatu bila

Kikosi cha Simba

Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba imeendelea kuwa moto wa kuotea mbali msimu huu baada ya hii leo kuinyamazisha Mwaduic fc kwa kuinyuka mabao 3-0 kwenye mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara uliopigwa kwenye uwanja wa CCM Kambarage Shinyanga

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS