Simba Vs Yanga: Mashabiki waonywa kuhusu uwanja

Mashabiki wa Simba na Yanga katika dimba la Taifa

Kuelekea katika mpambano wa watani wa Jadi Simba SC dhidi ya Yanga utakaopigwa siku ya Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, mashabiki wa soka nchini wametakiwa kulinda mali za uwanja huo ili uendelee kudumu kwa matumizi ya baadaye.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS