Bunge kufikishwa TAKUKURU kwa tuhuma za rushwa

Jengo la Bunge mijini Dodoma

Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), inakusudia kuzifikisha taasisi tisa za serikali katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, (TAKUKURU) ili kuchunguzwa kutokana na kuonesha viashiria vya rushwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS