Watumishi 5 Manyoni kusimamishwa kwa uzembe kazini

Mh. Geoffrey Idelphonce Mwambe

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh. Geoffrey Idelphonce Mwambe amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Bw. Charles Edward Fussi, kuwasimamisha kazi mara moja watumishi watano wa halmashauri hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS