Shinyanga kinara mimba za utotoni, jamii yaonywa

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sihaba Nkinga.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Sihaba Nkinga, ameitaka jamii ikiwemo wazazi kutambua umuhimu wa kuwapa elimu watoto wa kike ambao wengi wao wanaikosa kwa kuolewa wakiwa na umri mdogo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS