"Tuna nishati ya kutosha kwa ajili ya uwekezaji" Prof. Sospeter Muhongo - Waziri wa Nishati na Madini Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amesema Tanzania kwa sasa ina hazina ya kutosha ya makaa ya mawe na gesi itakayowawezesha wawekezaji kupata nishati ya uhakika. Read more about "Tuna nishati ya kutosha kwa ajili ya uwekezaji"