Twiga Stars yaanza maandalizi kuikabili Cameroon

Baadhi ya wachezaji wa Twiga Stars

Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) imealikwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Cameroon kama maandalizi ya kuanza kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wanawake 2016 Novemba 19, mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS