Twiga Stars kucheza mechi mbili na Cameroon
Kikosi cha Timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars kinatarajiwa kucheza michezo miwili ya kirafiki dhidi ya Cameroon ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya timu ya Taifa ya Cameroon kuelekea katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawwake