Bunge labaini ufisadi ujenzi wa machinjio Dar
Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania limebaini ubadhirifu wa zaidi ya shilingi bilioni 4.3 katika uwekezaji wa mradi wa kujenga machinjio ya kisasa Jijini Dar es Slaam, huku meneja wa mradi huo akiwa ameshalipwa zaidi ya shilingi milioni 783.