Simba SC yafunguka kuhusu usajili wa Okwi Emmanuel Okwi wakati akiwa Simba Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba Zacharia Hanspoppe amekanusha usajili wa washambuliaji Emmanuel Okwi na Kipre Herman Tchetche ndani ya klabu hiyo katika dirisha dogo la usajili. Read more about Simba SC yafunguka kuhusu usajili wa Okwi