Moto wateketeza ghala la matairi Dar Moto ukiteketeza ghala hilo Moto mkubwa umetokea kwenye ghala la vipuli vya magari na matairi la Saba General lililopo Mikocheni Jijini Dar es Salaam huku chanzo chake kikitajwa kuwa ni shoti ya umeme. Read more about Moto wateketeza ghala la matairi Dar