Rais Magufuli aumizwa na machafuko Sudani Kusini
Mwenyekiti wa Jumuia ya Afrika ya Mashariki na Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Mke wa Mwanzilishi wa Taifa la Sudan ya Kusini Rebecca Nyandeng Garang de Mabior.
