Sifanyi kazi na Hakeem 5 - Alikiba Alikiba King wa bongo fleva Ali Kiba amesema kwa sasa hawezi kufanya kazi na Hakeem 5 hata kama ikitokea akiomba kolabo kwa kuwa uongozi wake ndiyo utatoa maamuzi ya nani kufanya kolabo na yeye kwa sasa. Read more about Sifanyi kazi na Hakeem 5 - Alikiba