Michuano ya kikapu 'Taifa Cup' yapigwa kalenda Michuano ya Kikapu Shirikisho la mpira wa kikapu nchini TBF limesogeza mbele mashindano ya 'Taifa CUP' yaliyotarajiwa kuanza kutimua vumbi kuanzia leo jijini Arusha ambapo sasa yataanza Desemba 04 mwaka huu jijini humo. Read more about Michuano ya kikapu 'Taifa Cup' yapigwa kalenda