Marufuku watu binafsi kuchapa vitabu - Majaliwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imepiga marufuku uchapaji holela wa vitabu vya kufundishia na kujifunzia kwa wachapaji binafsi na badala yake uchapaji huo utasimamiwa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) ili kuthibiti ubora.