Meneja mpango wa taifa wa kudhibiti Ukimwi kutoka Wizara ya Afya - Dkt. Angela Ramadhani.
Serikali imesema asilimia 55 hadi 60 ya fedha zitakazopatikana katika Mfuko wa Udhamini wa Ukimwi uliozinduliwa leo zitatumika kwa ajili ya dawa za ARV na magonjwa nyemelezi ya zinaa.