Marufuku watu binafsi kuchapa vitabu - Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imepiga marufuku uchapaji holela wa vitabu vya kufundishia na kujifunzia kwa wachapaji binafsi na badala yake uchapaji huo utasimamiwa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) ili kuthibiti ubora.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS