Mwakani lazima nishiriki EATV Awards - Dully

Dully Skykes muda mfupi baada ya kuwasili

Mkongwe katika anga za bongo fleva, Dully Sykes amekutana na maajabu katika usiku wa Tuzo za EATV na kutangaza rasmi kuwa mwakani na yeye lazima ashiriki kwa kuwa atakuwa na vigezo vyote vinavyohitajika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS