Wafaransa watoa bilioni 25.7 kusaidia nishati TZ

Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Bi. Malika Berak (katikati) akishuhudia makabidhiano ya mkataba wa utolewaji wa pesa kwa ajili ya miradi ya nishati mbadala

Juhudi za serikali za kujenga uchumi wa viwanda zinaendelea kuungwa mkono na wadau wa ndani na nje ya nchi baada ya Shirika la Maendeleo la Ufaransa AFD hii leo kusaini makubaliano yaliyowezesha upatikanaji wa shilingi za Tanzania bilioni 25.67.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS