Wanaojitangaza kutibu UKIMWI waanza kusakwa

Tume ya Taifa ya Kudhuibiti Ukimwi Tanzania TACAIDS kwa kushirikiana na vyombo vya dola inatarajia kuanza oparesheni maalum ya kuwasaka baadhi ya viongozi wa dini na waganga na tiba za asili wanaodai kuwa na uwezo wa kutibu ugonjwa wa UKIMWI

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS