Mwenyekiti wa CCM Mbeya anusurika kuuawa Mwenyekiti wa CCM Mbeya Mjini (Aliyekaa) akipeleka hospitali) Mwenyekiti wa CCM Mbeya Mjini, Efrahim Mwaitenda mwenye umri wa miaka 60 amejeruhiwa kwa kupigwa risasi mgongoni na mtu au watu wasiofahamika. Read more about Mwenyekiti wa CCM Mbeya anusurika kuuawa