Wema atajwa kuhusika na dawa za kulevya

Wema Sepetu

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ametajwa kuwa ni kati ya wasanii ambao wanatumia dawa za kulevya hivyo anapaswa kesho kukutana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda katika kituo cha polisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS