Calisah hafai kuwa model - Daxx Cruz
Mwanamitindo maarufu wa Tanzania ambaye shughuli zake kwa sasa anazifanyia nchini Afrika Kusini, Daxx Cruz amefunguka na kutaja vigezo vya mtu anayestahili kuwa mwanamitindo 'model', na kutaja baadhi ya 'models' wa Bongo wasiokuwa na vigezo