Walimu zaidi ya 5000 waingia mitini
Serikali imesema kuwa kati ya walimu zaidi ya 8,000 wa Sayansi na Hisabati waliotajwa kuhitaji ajira serikalini, ni walimu 2100 pekee waliotuma maombi, ikimaanisha kuwa kuna walimu zaidi ya 5,000 ambao hawajulikani waliko.