Makonda aagiza wahusika wa 'unga' wakamatwe

Paul Makonda - Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameagiza kukamatwa kwa watu aliowataja jana kuhusika na dawa za kulevya ambao hawajajisalimisha kituo cha polisi leo, kama alivyoagiza

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS