Simba yasaka point tatu kwa Majimaji

Mechi ya Simba na Majimaji mzunguko wa kwanza, ambapo Simba ilishinda mabao 4-1

Ligi kuu ya soka Tanzania bara inataraji kuendelea tena kesho Jumamosi ambapo kule Ruvuma mtoto hatumwi dukani kukishuhudiwa wenyeji wanalizombe Majimaji wakiwa na kibarua pevu mbele ya wanalunyasi wekundu wa Msimbazi Simba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS