Mourinho akumbwa na 'dhambi' ya usaliti

Jose Mourinho

Meneja wa Manchester United Jose Mourinho amewaambia mashabiki wa Chelsea kwamba yeye bado ni "Number One" (Nambari Moja) baada ya kuzomewa wakati wa mechi ambayo mabingwa hao watetezi wa Kombe la FA walilazwa 1-0 uwanjani wa Stamford Bridge Jumatatu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS