Shamba la bangi lateketezwa Mbeya
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Kamati Kuu ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Kipolisi Mbalizi lilifanya Oparesheni ya pamoja na kumkamata mkulima mmoja wa dawa za kulevya aina ya bangi, pamoja na kuteketeza shamba lake.